BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Wednesday, June 29, 2011

Grand Malt Open Film Festival


Meneja wa kinywaji cha Grand Malt bidhaa ya TBL Bi. Consolata Adam akiongea katika uzinduzi rasmi wa Tamasha la wazi la filamu Tanzania (Grand Malt Open Film Festival) katika viwanja vya Tangamano mjini Tanga. Bi Consolata Adam amesema kwamba Wiki ya maonyesho ya wazi ya Filamu inaendelea mpaka tarehe 3 Julai Mwaka huu. Maonyesho hayo ya Filamu yanafanyika kwa mara ya tatu katika historia yake.

Meya wa jiji la Tanga Mzamil Shemdoe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tamasha la wazi la filamu Tanzania (Grand Malt Open Film Festival) katika viwanja vya Tangamano mjini Tanga Kulia ni Musa Kissoky mkurugenzi wa Sofia Production waratibu wa tamasha hilo na Kushoto ni Consolata Adam Meneja wa kinywaji cha Grand Malt bidhaa ya TBL ambao ndiyo wadhamini wakuu wa maonyesho hayo ya filamu Tanzania.

Monday, June 27, 2011

SHOW OFF...

Let us luk for different celebrity poze today and find out who's gonna Rock all of them....

 haya fight a pose
una mrimember huyu??
 Yemesi
 Vanessa-Nzediegwu
 Ramsey Noah.
Mzee Kipara
pole Bambo...
 Kingwedu bado yupo??
 Ze komedi ileeee ya kipindi kileeee...

Saturday, June 25, 2011

DEVIL KINGDOM...


Cast:Steven Kanumba and Ramsey Noah
Director: Steven Kanumba
Writer: Ally Yakuti
Rating: PG-18
Running Time: 120 min.
Available in: VCD, DVD, VHS.
Produced in: 2011.
Synopsis:


A young man working hard to have it all in life but isn't very successful, looks at his peers which are multimillionaires and doesn't stop asking himself why he isn't as successful as they are. He begins questioning GOD, and wondering if is he not praying as much as the others and as a result he is not as rich!
He starts a church but it doesn't generate much income, and so he asks one of his millionaire friends how he can be successful like them. His friend opens up and tells him it’s not the work of GOD but that of another power. He tells him that if he wants to be like them he has to join their secret society. He agrees and they give him everything; healing power, an increase in the number of church members, money and the good life but in return he has to make some sacrifices! After some time he is required to sacrifice an albino, which he finds impossible, so the secret society tells him to sacrifice his parents instead, he then tries to quit but they tell him there is no getting out - once you're in, you're. So he goes back to his church and kneels before GOD.

FADHIL MAOGOLA AKIWA KAZINI

Ni mmoja katika ya wapiga picha bora hapa tz. moja ya kazi zake hapo down.....
Fadhili akishoot mojawapo ya movie ailizoshoot

Fadhili Maogola

testin'

Friday, June 24, 2011

AFRICA MAGIC SWAHILI KUANZA TRH 1 JULY.

Hivi karibuni kampuni ya kurusha matangazo ya Televishen kwa Digital ya DSTV  kupitia M-Net Africa wamezindua channel itakayojulikana kwa jina la Africa Magic Swahili, Channel hiyo itaanza kuwa hewani tarehe 1 July katika channel 127 katika decorder ya DSTV.

Na channel hiyo itaonyesha filamu za kiswahili,Comedy,Vipindi vya majadiliano vya kiswahili na miziki ya kiswahili.Akiongea na Wageni waliohudhuria hafla hiyo Mkurugenzi wa M-Net Africa Biola Alabi amesema yote ni kukuza lugha ya kiswahili na Filamu za kiswahili na michezo yote inayohusisha lugha ya kiswahili.

FILAMU YA GLAMOUR (The Reality Behind Dreams) KURUKA ZIFF 26 JUNE 2011.


KAMPUNI mahiri katika masuala ya utengenezaji filamu kwa hapa nchini ya ZG Films Usiku wa tarehe 26 mwezi huu wa sita 2011 kuanzi muda wa saa moja na robo , filamu yake ya Glamour: (The Reality Behind Dreams) itaonyeshwa katika tamasha hili la filamu la ZIFF na kuzinduliwa rasmi na kushuhudiwa na wageni mbalimbali wanaudhuria tamasha hili wakiwa wametoka nchi mbalimbali kutoka sehemu kubwa ya Ulimwengu huu.

ZG Films – Nyumba inayozalisha bidhaa bora za filamu Zanzibar ikiongozwa na mpiga picha mashuhuri na mtengenezaji wa filamu, Javed Jafferji – tayari ameshazindua taarifa kadhaa zinazohusiana na masuala muhimu na matukio ya visiwa vya Zanzibar na Tanzania. Hivi karibuni amezindua Journey to the State House: The Life of Seif Shariff Hamad ikiwa na maana ya Safari ya Ikulu: Maisha ya Seif Shariff Hamad, ambayo itakuwa toleo la mwanzo katika Tamasha la ZIFF 2011(Zanzibar International Film Festival) ambayo imeingia kwa ajili ya tuzo ya filamu bora katika tamasha hilo.

ZG Films ikiwa na lengo la kuangalia athari na ufikaji wa sekta ya filamu Tanzania, ina lengo la kuwafikishia watu kimataifa, kwa kuweka kiwango cha kimataifa katika sekta hiyo hapa Tanzania. Katika kutimiza lengo hili, ZG Films and Media House, wakishirikiana na Zanzibar International Film Festival, inatoa, filamu ya Glamour (The Reality Behind Dreams)
Filamu hii imetayarishwa na Javed Jafferji na kuongozwa na Amitabh Aurora, Glamour: The Reality Behind Dreams ni filamu ya kwanza ya ZG Films and Media House, ni filamu ya Bongo ya Kisasa ikihamasishwa na Swahili Fashion Week – Tukio kubwa Tanzania linalohusiana na uwanamitindo, na kutoa ukweli juu ya sekta ya uwanamitindo, Mhusika mkuu katika filamu hii sio mwengine bali ni Eva Issac (aka “Eva ya Diva”), mmoja kati ya wanamitindo wakubwa Tanzania.

UJIO MPYA...

Yvonne Nelson
Miezi ya nyuma, mwigizaji  wa kike kutoka nchini ghanaYvonne Nelson alipigwa marufuku kwa mwaka mmoja kuonekana ama kuigiza katika filamu kutokana na tabia aliyofanya ambayo ilikuwa ni unprofessional katika certain movie.
Yvonne Nelson
Katika maandalizi yake kurudi tena amejiandaa vilivyo na kwa sasa ameonesha moto wake kwa kuachia baadhi ya promo photos kwa mashabiki wake hebu nawe jitazamie kama mdau.

 Yvonne Nelson

INI EDO NA EGO OKOYE WAPIGANA LOCATION

Ini Edo na Oge Okoye.
Imeripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Nigeria kuwa mastaa wa kike maarufu nchini humo wameshambuliana wakiwa location maeneo ya Festac Town, Lagos.

Ini Edo
Kulingana na chanzo cha habari, ugomvi huo ulianza baada ya kudaiwa INI mshitaki rafiki yake wa zamani Oge kuwa alikuwa akimpiga jicho la kimahaba mume wake, inasemekana kwamba Oge hakuyapokea vizuri malalamiko hayo yaliyo pelekea kuzuka kwa ugumvi mkubwa ambayo ulisababisha ku cancel shughuli nzima ya kushoot iliyokuwa inaendelea huko festac Town, Lagos.
Oge Okoye.
Ripoti kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari inaonyesha kwamba Edo INI na Oge Okoye  wameshiriki katika ugomvi wakiwa location Festac Town, Lagos.

Wednesday, June 22, 2011

SPORAH ASAINI MKATABA MPYA NA LIME HOUSE STUDIO.


Mtangazaji  wa kipindi cha The Sporah Show Sporah Njau amekamilisha kusaini mkataba na studio ya Lime House kufanya kazi pamoja katika kipindi chake.
Sporah Njau
Akielezea hisia zake kupitia mtandao wa kijamii wa facebook Sporah alisema. Nanukuu
·         “AT LAST I OFFICIALLY SIGNED MY CONTRACT WITH LIME HOUSE STUDIO..! GREAT NEWS.. I ABSOLUTELY LOVE WORKING IN THE STUDIO & WATCHING MAGIC HAPPEN!... BUT..!!
BY SIGNING MY CONTRACT, I WILL NOT ALLOW TO HAVE ANY OTHER BRAND APART FRM "SPORAH"
BECAUSE I HATE SAYING .."IT JUST ISN'T MEANT TO BE" I WILL NOT STOP.
WE WILL TERMINATE OUR NEW BABY "iMAGAZINE" TO "THE SPORAH MAGAZINE"
THANK YOU ALL FOR YOUR SUPPORT.” Asema Sporah.
Sporah Njau

Mkataba hu aliosaini na Lime House utambana kufanya kazi na kampuni ama kipindi kingine zaid ya kipindi chake hicho cha “THE SPORAH SHOW”


Sporah Njau

Tuesday, June 21, 2011

Mercy Johson na Hubby wake Kufanya shopping yanguo za harusi New York.

Mercy nchini USA
Imekuwa kawaida kwa wadada hawa wa tasnia yua filamu nchini Nigeria kuwa pamoja kwa kile kinachosemekana uhusiano wa jinsia moja..
Mercy
Sasa hii kali msanii Mercy Johnson inasemekana yuko Nchini Marekani akifanya shopping ya mavazi ya harusi ya nne na huyo mdada walie nae katika mahusiano..
Mercy akichagua nguo
Chekshia walivyojiachia..
mercy na hubby wake.