BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Saturday, October 1, 2011

Shirley; Nyota anayetikisa kwenye tamthiliya ya Millosiss...


Jina halisi la chipukizi huyo ni Celina Victor, lakini mashabiki wa filamu wanamfahamu kwa 'Shirley', msanii ambaye aliweza kuonesha uwezo katika tamthilia ya 'Jumba la Dhahabu'.
Nyota huyo anajitahidi kusaka umaarufu lakini bado ana changamoto nyingi za kucheza filamu ambazo zitazidi kumweka juu kama ilivyo kwa The Sandy kazi ambayo inafanya vizuri.


Katika mawasiliano na mdada huyu na blog hii kupitia mtandao wa Facebook Shirley alifunguka na kutaja kazi mbali mbali ambazo aliwahi kufanya na bado zingine zinazotarajiwa kutoka hivi karibuni.


“Kazi nilizowahi kucheza ni jumba la dhahabu (series) + movies nilizoshiriki kuna mboni yang ya kina sajuki, zingine indecency, jasho la kifo, hostell na XXL ambayo haijatoka bado. Also nipo kwny drama inaitwa millosis inaruka Tbc kwa sasa,” alisema Shirley.

No comments:

Post a Comment