BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Wednesday, July 6, 2011

JENGUA AAMUA KURUDI TENA SASA...

Msanii wa filamu ambaye alijipatia umaarufu kupitia kundi la Chemchem Arts Group maarufu kama Kidedea, amesema anarudi tena kwa kasi katika mtindo mwingine wa filamu. anasema kwa hivi sasa anatoka na filamu mpya inayokwenda kwa jina la Gamba la nje.
alisema kwa sasa yupo chini ya meneja mpya Abdull Makarama ambaye ndiye mwenye kundi la Mkarama Group analoofanyia kazi yeye

No comments:

Post a Comment