BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Saturday, July 9, 2011

KATE APANGA KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE ISIVYO KAWAIDA...

Msanii wa kike wa filamu nchini Nigeria Kate Henshaw Nuttal amepanga kusherekea birthday yake kwa gharama za juu na itakuwa sherehe ambayo haijawhi kutokea..
Akizungumza na waandidhi nchini humo amesema kuwa atakuwa anatimiza umri wa miaka 40 itakapo fikia tarehe 19 july mwaka huu.

Mbali  na kufikia umri huo pia atakuwa anasherekea anniversary ya ndoa yake iliyodumu kwa miaka 10 sasa..

Kama wadau wa fani hii tunampa pongezi dada huyu kwa kufikisha umri huu na pia miaka yote hyo katika ndoa..

No comments:

Post a Comment