BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Tuesday, July 5, 2011

MSANII WA NIGERIA AVAMIWA NA MAJAMBAZI

Habari kutoka katika vyanzo vya habari mbali mbali nchini Nigeria vinaeleza kuwa mwigizaji wa kike Hassanat Taiwo Akinwande wa Yoruba maarufu kama Wunmi alivamiwa na majambazi na kuporwa hivi karibuni siku ya Jumapili, Julai 3, 2011 katika makazi yake maeneo ya  Ijede, Ikorodu Lagos.


Kulingana na vyanzo hivyo, wezi hao walivunja nyumba yake saa 10:45 na kuiba vitu mbali mbali pamoja fedha na vitu vya thamani visivyojulikana.

Wakati wa uvamizi huo, ambayo ulidumu kwa saa kadhaa, wakazi wa mji huo ambao wanaishi maeneo ya karibu na nyota huyo hawa kuweza kutoa ushirikiano wala kusaidia.

sio tuu kuiba vitu hivyo pia waliweza kumjeruhi kwa kiasi kidogo staa huyo wa Nigeria.

No comments:

Post a Comment