BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Saturday, July 9, 2011

SYLIVIA ASHINDA TAJI LA UREMBO...


Mwanadada Mrembo Sylivia Nduka amabaye pia ni mwanafunzi anayesomea accountancy undergraduate kutoka Anambra State ameibuka mshindi katika shindano la Most Beautiful Girl In Nigeria 2011.

Mbali na Taji hilo alilopata pia Sylivia amejishindia kitita cha milioni 3 fedha za Kinaigeria pamoja na gari aina ya Hyundai.


Shindano hili la kuwasaka wrembo wenye mvuto nchini humo hufanyika kila mwaka na mwaka huu mdada huyo kaondoka na zawadi hizo nono.


Mashindano ya Most Beautiful Girl in Nigeria (MBGN) yalifanyika June 25, 2011 na mwana dada huyu ndie aliyemrithi mshindi wa mwaka jana aliyekuwa Fiona Aforma shindano hilo lilifanyika katika maeneo ya Eko Hotels and Suites, Victoria Island, Lagos.

No comments:

Post a Comment