BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Monday, December 13, 2010

FILAMU YA REASON TO DIE SASA INAPATIKANA SOKONI.


FILAMU ya A Reason to die iliyoshirikisha mastaa wakali imeingia jana sokoni na inapatikana nchi zima, filamu hii iliyofanikiwa katika kuonyesha uhalisia hasa sehemu za mapigano ni hadithi inayomwelezea binti Nyika anayeingi mikononi mwa jambazi hatari Dr. Cheni na kujikuta anamtia baba yake katika matatizo makubwa bila ya kujua, akiongea na mtandao huu mmoja wa washiriki.

Filamu hiyo inasambazwa na Gibs Media Pro ya jijini Dar es Salaam, A Reason to die imeshirikisha wasanii nyota kama Elizabeth Michael (Lulu), Christina Mhina, Mahsein Awadh ( Dr. Cheni), Peter Mhina, Abdul Bendera ( Mr. India), Teacher John na wasanii wengine wakali katika masuala ya filamu hapa nchini.

No comments:

Post a Comment