BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Monday, December 20, 2010

FRANK AJA NA FILAMU YA 'THE GIRL NEXT DOOR'.

MSANII nyota wa filamu Tanzania Mohamed Mwikongi (Frank) baada ya kimya cha muda anakuja na filamu kali na ya kusisimua ya The Girl Next Door filamu hii ambayo ipo katika hatua za mwisho katika kurekodiwa ni filamu ambayo inatarajiwa kumrudisha msanii huyu kwa nguvu katika tasnia hii ya filamu baada ya kufanya vizuri katika filamu ya Pretty Girl .
 
Nakuja na filamu ya ukweli, inayoshirikisha wasanii nyota na wenye uwezo katika game hili, najua wengi wamenimis sana kwa kutoandaa filamu yangu kama siku za nyuma, sasa narudi kwa nguvu na naibuka na kitu cha ukweli cha The Girl Next Door
alisema Frank.

No comments:

Post a Comment