Kundi la Perfect Arts Group wanakutangazia kwamba kama una kipaji cha cha kuigiza unaweza mara moja kujiunga nao, piga simu namba 0716066078 ama 0787122976 .Atakayepokea ni muigizaji maarufu wa filamu anayeitwa Kishoka. Kundi hili huwa linafanya mazoezi katika Hotel ya Top Life, Kinondoni Mkwajuni jijini Dar es Salaam kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni, wote mnakaribishwa. Baadhi ya filamu ambazo kacheza bingwa huyu ni Bad Night, Mbwembwe, Before Mid Night na nyingine kibao.
NEC YAWANOA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI BAGAMOYO,,DAR ES
SALAAM,MKURANGA,RUFIJI,CHALINZE
-
Na Magrethy Katengu, Dar es salaam
TUME huru ya Taifa ya uchaguzi NEC imewataka waratibu wa uchaguzi wa mikoa
,wasimamizi wa uchaguzi, wasimamizi wasaidi...
2 weeks ago
No comments:
Post a Comment