Kundi la Perfect Arts Group wanakutangazia kwamba kama una kipaji cha cha kuigiza unaweza mara moja kujiunga nao, piga simu namba 0716066078 ama 0787122976 .Atakayepokea ni muigizaji maarufu wa filamu anayeitwa Kishoka. Kundi hili huwa linafanya mazoezi katika Hotel ya Top Life, Kinondoni Mkwajuni jijini Dar es Salaam kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni, wote mnakaribishwa. Baadhi ya filamu ambazo kacheza bingwa huyu ni Bad Night, Mbwembwe, Before Mid Night na nyingine kibao.
WAZIRI WA UJENZI MHE. ULEGA AIPA KONGOLE ETDCO KWA UTEKELEZAJI BORA
MIUNDOMBINU YA UMEME
-
*Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, ameipongeza Kampuni ya ETDCO kwa
umahiri na weledi katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi, ukarabati na
usambazaj...
6 days ago
No comments:
Post a Comment