BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Wednesday, August 25, 2010


Kampuni ya Clouds Media Group kupitia Clouds TV jana jioni imefanya uzinduzi wa kipindi bora cha TAKE ONE chini ya mtangazaji Zamaradi mketema mwana dada mahiri katika mambo ya uchambuzi wa habari za wasanii wa filamu na filamu hapa nchini, kitakachohusu tasnia ya filamu hapa nchini Tanzania. Uzinduzi huo ulifanyika pamoja na uzinduzi wa vipindi vingine vitakavyokuwepo katika Clouds TV na uzinduzi huo uli ruka live kupitia channel hiyo, sherehe hiyo iliwaalika wadau na wasanii mbalimbali wa filamu  hapa nchini



Zamaradi Mketema na Ephraim Kibonde.
Kupitia kipindi hiki tasnia ya filamu hapa nchini itaweza kupanuka kwani kumekuwa na uchache wa vipindi hivi vinavyojihusisha na tasnia hii ambapo kimojawapo ni kipindi cha TV kinachorusha na televisheni ya EATV kwa hapa Tanzania chini ya mwanadada Joyce Kilya.



Zamaradi mketema

No comments:

Post a Comment