BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Sunday, August 29, 2010

MCHUMBA WA MERCY JONHSON AMUONYA NYOTA HUYO WA NOLLYWOOD, KUWA OFFLINE KWENYE FACEBOOK



MERCY JONHSON


Hii inaweza isiwe habari nzuri kwa shabiki wa mwanadada huyu, Mercy Johnson ambaye ni mtumiaji wa mtandao maarufu wa kijamii ambao hutumiwa kuwasiliana  na kuchat wa Face book. Habari ni kuwa, mercy, ameonywa na mpenzi wake, Prince Odi kutotumia profile yake yaani kuwa offline mpaka pale watakapo oana. Kwa mashabiki wote, unataarifiwa kuwa muigizaji huyo, Mercy mpaka hivi sasa hajatumia facebook kwa takribani muda wa mwaka mmoja sasa. Sababu ikiwa mpenzi wake huyo, Prince Odinosen kamuonya kutoitumia facebook kama kweli anatarajia kufunga nae ndoa.

Kama ni mmoja wa watu uliyekuwa unapenda kuchati na Mercy Johnson kwenye facebook, ufahamu kabisa kuwa profile picture ni yaMercy lakini maneno yaliyomo yanaandikwa na mchumba wake  Prince Odinosen.

No comments:

Post a Comment