BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Tuesday, August 24, 2010


Msanii nyota wa filamu hapa nchini Daudi Michael amekamilisha utayarishaji wa filamu zake na hivi sasa zimeanza kuingia sokoni moja kati ya filamu ambazo zimeingia sokoni ni Fake pregnant na moja ambayo haaijatoka kwa sasa Aunt suzzy.ambazo ametayarisha hivi karibuni.
Amesema kuwa filamu hizo ni bomba na zinazungumzia maisha halisi ya kitanzania.

 DVD cover ya filamu ya Fake Pregnant part one

DVD cover ya filamu ya Fake Pregnant part two.
Pia amesema kuwa wasanii nyota walioshiliki katika filamu hizo ni kama Esther,sarah sudi, sudi,santana na wengine nyota kibao na wasanii vichwa wachanga.

DVD cover ya filamu ya Aunt Suzzy part one.
DVD cover ya filamu ya Aunt Suzzy part two.
Zaidi msanii huyu wa filamu hapa nchini ameshatoa filamu kadha wa kadha kutoka katika kampuni yake ya D production kama vile Where is love, Upside Down, Remember na nyingine kibao.na amewahi kushiriki katika movies nyingine kama money desire,kisisina and many more.
Hivyo amewaomba watanzania wamuunge mkono katika kazi yake kwa kununua nakala halisi ili tasnia nzima ya filamu iweze kusonga mbele na ameahidi utakapo nunua filamu hizi hutajutia maamuzi yako. 
Wabongo tumuunge mkono mbongoo mwenzetu tuachane na mambo ya kale ya tamthilia za kiphillipino eti jamani.........!!

No comments:

Post a Comment