BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Monday, November 21, 2011

Nicki Samonas kusaidia shule za msingi zote nchini kwake


Muigizaji Nikki Samonas wa Ghana ambaye ni mzaliwa wa Ghana ameamua kusaidia shule zote msingi kwenye wilaya za nchi hiyo.

Nikki ameweka bayana kwamba atagawa vitabu na vifaa mbalimbali vya elimu kwenye shule za wilaya zote za Ghana utakapoanza msimu mpya mwezi Januari mwakani.

Msanii huyo amepanga kugawa vitabu 10,000 kwa kila wilaya kupitia Shirika lake aliloanzisha linaloitwa 'Help Them Learn'. Alisema kuwa;

Nimepanga kufanya huu mradi kusaidia wanafunzi wasiojiweza, wapate elimu na maarifa. Elimu inaleta heshima na maisha bora,"alisisitiza huku akipanga kuchangisha zaidi kutoka kwa mashirika ya kimataifa.

No comments:

Post a Comment