BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Tuesday, May 8, 2012

JENNIFER KYAKA "ODAMA" AMEACHIA FILAMU YAKE MPYA-"RUDE"

 
Filamu yangu inayoitwa RUDE niliyoicheza na Stanley Msungu,Ruth Suka a.k.a Mainda, Mzee Jengua, Herrieth Chumila,Rachel Haule na wasanii wengineo kibao.

Ni story nzuri sana ( Lamata hajawahi kuniangusha kwenye hilo) inayoonyesha mambo halisi yanayotokea katika jamii yetu.

Utajiuliza utofauti wake ni nini? ni ubora wa picha( shukrani kwa Farid Uwezo) mpangilio mzuri wa story, soundtracks zilizopangiliwa vizuri, ubora wa sauti na kikubwa zaidi FINE ACTING.

Muone jinsi Msungu alivyodhihirisha u- mwamba wake wa kuweza kucheza roles tofauti tofauti (picha ya cover inajieleza)
Utaona jinsi MAINDA alivyokuwa Good girl gone bad( get ur copy umuone msichana huyo mdogo lakini mkongwe kwenye movie za bongo)

Utaniona mimi pia ( makamuzi yangu si unayafahamu?)

JIPATIE COPY YAKO SASA

Tembelea blogu yake: www.odama1.blogspot.com

No comments:

Post a Comment