Msafara wa wachezaji, wadau wa mpira na mashabiki wa club ya Simba kuelekea mbagala leo... shughuli hiyo imesababisha kuwepo na msongamano mkubwa wa gari amahali ambapo wamepita kama ratiba yao ilivyokuwa....
NEC YAWANOA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI BAGAMOYO,,DAR ES
SALAAM,MKURANGA,RUFIJI,CHALINZE
-
Na Magrethy Katengu, Dar es salaam
TUME huru ya Taifa ya uchaguzi NEC imewataka waratibu wa uchaguzi wa mikoa
,wasimamizi wa uchaguzi, wasimamizi wasaidi...
2 weeks ago
No comments:
Post a Comment