BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Friday, June 24, 2011

INI EDO NA EGO OKOYE WAPIGANA LOCATION

Ini Edo na Oge Okoye.
Imeripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Nigeria kuwa mastaa wa kike maarufu nchini humo wameshambuliana wakiwa location maeneo ya Festac Town, Lagos.

Ini Edo
Kulingana na chanzo cha habari, ugomvi huo ulianza baada ya kudaiwa INI mshitaki rafiki yake wa zamani Oge kuwa alikuwa akimpiga jicho la kimahaba mume wake, inasemekana kwamba Oge hakuyapokea vizuri malalamiko hayo yaliyo pelekea kuzuka kwa ugumvi mkubwa ambayo ulisababisha ku cancel shughuli nzima ya kushoot iliyokuwa inaendelea huko festac Town, Lagos.
Oge Okoye.
Ripoti kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari inaonyesha kwamba Edo INI na Oge Okoye  wameshiriki katika ugomvi wakiwa location Festac Town, Lagos.

No comments:

Post a Comment