Unamfahamu msanii mkongwe anayekwenda kwa jina la Mzee Kipara, kama ni hivyo basi tunahitaji kumsaidia mzee wetu amekuwa akisumbuliwa miguu kwa muda mrefu sana kwa kifupi Mzee wetu anasumbuliwa na magonjwa mengi ila kwa sasa ni miguu ndio inayomsumbua sana kutoa ni moyo wa wala si utajiri mimi kwa upande wangu nitajitoa kwa hali na mali lakini pia bado tunaomba misaada kutoka kwa wasamalia wema kampuni Global Publisher iliweza kumpa cm ili haweza kutumia kwa njia ya M PESA ili iweze kumsaidia kwa urahisi zaidi namba ni 0753 923454 Asanteni sana
NEC YAWANOA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI BAGAMOYO,,DAR ES
SALAAM,MKURANGA,RUFIJI,CHALINZE
-
Na Magrethy Katengu, Dar es salaam
TUME huru ya Taifa ya uchaguzi NEC imewataka waratibu wa uchaguzi wa mikoa
,wasimamizi wa uchaguzi, wasimamizi wasaidi...
2 weeks ago
No comments:
Post a Comment