BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Saturday, September 4, 2010

INI EDO, TONTO DIKE WAPATA SKENDO YA KUSAGANA.


Tonto Dike


Tangu Nollywood diva, Ini Edo aingie rasmi katika ndoa na, Philip Ehiagwina, mfanya biashara maarufu anaye fanyia shughuli zake marekani, amekuwa akipatwa  na uvumi kuwa ana mahusiano na wanawake wenzake, kutokana na taarifa tofauti tofauti zinazovuma chini chini nchini Nigeria.
Kwamba katika ndoa yake na Philip kuna migongano na inasemekana kuwa amekuwa na wakati mgumu katika ndoa yake hiyo. Kuna habari zinazo vuma chini chini hivi sasa kuwa ana mahusiano na mwanamke mwenzake tabia inayotambulika kama ‘lesbianism’.



Ini Edo

Skendo hiyo ambayo inamuhusu yeye na Mwigizaji mwingine kutoka Nollywood, Tonto Dike na Ini Edo ambao inasemekana kuwa wote walionekana wamelewa hivi karibuni kwenye location na walionekana wakifanya vitendo vilivyo washtua watu. Kwa mujibu wa mtoa habari amesema kuwa,Ini Edo and Tonto, wameonekana wakiwa usiku mmoja wakiwa pamoja na wameonekana wakifatana kama mapacha katika sehemu mbalimbali za starehe kama Alpha Beach, Lekki area huko  Lagos.

Tonto Dike anaishi maeneo Abraham Adesanya huko Ajah area Lagos.Na kwa mujibu wa habari kutoka katika mtandao wa  www.nigeriafilms.com ulifanya utafiti na kuona hali ya ulevi na utupu umeingilia maisha ya wanadada hao.

No comments:

Post a Comment