BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Tuesday, September 28, 2010

Mapinduzi ya filamu hapa bongo.

Na haya ndio mapinduzi ambayo huwa tunayawaza na tunayazungumzia kila siku , naona sasa yameanza



 
wasanii wa filamu hapa nchini
Nazungumzia uzinduzi wa filamu ya Black Sunday iliyosimamiwa na Pilipili Entertainment ulivyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa sinema wa Mlimani City ambapo iliigizwa kama Ulaya

Waigizaji waalingia katika gari la kifahari, huku kukiwa na wageni na wadau wa filamu kukiwepo na red carpet huku mahijoano kutoka vyombo mbalimbali yakifanyika


bila shaka huu ni mwanzo na itakuwa kila filamu kwani wakati filamu hii inazinduliwa Bongo huko Kenya nako ilikuwa inazinduliwa katika kumbi zipatazo saba.


Mungu saidia Tanzania saidia Tasnia hii ya filamu ikue

No comments:

Post a Comment