BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Monday, September 20, 2010

SHIRIKISHO LA WASANII WA FILAM TANZANIA (TAFF) LAZINDULIWA RASMI LEADERS CLUB


 Wadau wa filamu na wasanii katika viwanja vya leaders dsm.
 
Shirikisho la Wasanii wa filam Tanzania (TAFF) limezinduliwa rasmi katika viwanja vya Leaders Club na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na wasanii wa filamu.Akifungua tamasha hilo Rais wa shirikisho hili Saimon Mwakifamba amesema kwanza wameshukuru kwa serikali kuanza kulitambua shirikisho lao na kazi yao ya kwanza kuanza nayo ni kutetea maslahi ya wasanii wa filam kwani mapato wanayopata ni madogo sana,vile vile wamedhamiria kuanzisha tamasha la filamu litakalojulikana kama Nyerere film festival litakalofanyika December mwaka huu.

 Diamond musica ilisherehesha uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment