BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Wednesday, September 8, 2010



Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni muda ambao Waislamu duniani kote wanafunga, wanaswali na kufanya matendo mema. Aidha ,ni wakati wa kutafakari na kuimarisha imani zao,kutenda mema, kuwasaidia wenye shida na kuwa na huruma.
 Ibada ya Eid El Fitri.

Wadau wote wa blog hii ya www.filamutanzania.blogspot.com na www.thazealottz .blogspot.com pia. ninapenda kuwatakia Waislamu wote wa Tanzania Eid El Fitri njema. Muda huu wa kujitafakari unatukumbusha kuwa maadili ya uislamu wema, kujali wengine, kuhudumia jamii, ushirikiano na huruma ni amali ambazo sisi kama watanzania tunazithamini sana na ambazo kwa hakika zimechangia sana katika tamaduni nyingi duniani kote.

Wenzetu waislamu wakisherekea Eid El Fitri

Nawatakia Eid El Fitri njema wadau wangu.

 mmmh! Misosi mbalimbali ya Eid unaona tende!?



Frank Aman Mawenya(Tha Zealot).
 Eid El Fitri njema

No comments:

Post a Comment