BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Monday, April 9, 2012

YANAYOENDELEA KATIKA MSIBA WA KANUMBA...

 MAREHEMU STEVEN KANUMBA ENZI ZA UHAI WAKE.
 mdogo wa marehemu akizungumza na waandishi wa habari
 kamati ya inayoshughulikia msiba wa kanumba pamoja na mazishi yake
 baadhi ya wasanii wa kike walioko msibani
 hii ni picha iliyowekwa msibani katika kitabu cha mahudhulio na rambi rambi.
 msanii wakipelekwa sehemu ya hewa baada ya kuzirai msibani
 baadhi ya wasanii, watanzania wapenzi wa filamu na marehemu Steven kanumba.
 Baadhi ya watu waliohudhulia msibani
 Mainda mmoja wa wasanii wa filamu na aliyekuwa msanii wa karibu na kanumba eznzi wakiwa Kaole Sanaa group.
 Mama wa marehemu akiwa katika majonzi.
 Msanii wa filamu Johari
Mke wa aliyekuwa Spika wa Bunge Samuel Sitta..

No comments:

Post a Comment