BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Sunday, August 14, 2011

TSJ YAANDAA MASHINDANO YA MISS & MR KWA MWAKA HUU....

SERIKALI ya wanafunzi ya Time School of Journalism (TISJOSO) kwa kushirikiana na kampuni ya kizalendo ya Zealot Entertainment Agency imeandaa mashindano ya urembo ya kumtafuta mshindi na mwakilishi ya kinyang’anyiro cha Miss na Mr TSJ 2011.
Shindano hilo litafanyika katika sherehe ya Welcome First Year Special Bash ambayo imelenga kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni hapo kwa ngazi zote kuanzia Basic Certificate, Advanced Certificate na Diploma kwa mwaka huu.
Hafla hiyo ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza ambayo itapendezeshwa na mashindano haya inatarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi tarehe 3 Septemba mwaka huu katika maeneo ya Jangwani Sea Breeze Mbezi beach.

No comments:

Post a Comment