BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS »

Promo

Promo

Saturday, August 6, 2011

WAREMBO WAANDAA FUTARI KWA WAANDISHI..


WAREMBO wa  Redds Miss Ilala, Kinondoni na Temeke, mwishoni mwa wiki hii waliandaa futari kwa wahariri na wandishi  kama sehemu ya shukrani kwa ushirikiano waliopata kihabari muda wote waliokua katika michuano ya kanda zao pamoja na kuwaaga wanahabari hao tayari kwa kuanza kambi ya taifa August 8.

 warembo wa Miss Kinondoni, Ilala na Temeke wakibadilishana mawazo katika hafla iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari na warembo hao.
Baadhi ya warembo walioshiriki Mashindano hayo ya Urembo ya kanda tatu za Dar es Salaam wakichukua chakula (ftari) wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajli ya warembo hao pamoja na waaandishi wa habari iliyofanyika katika hotel ya city garden. (Picha na Frank Aman).

. Meneja wa kinywaji cha Redds, Victoria kimaro akizungumza na waandishi wa habari ijumaa jioni jijini Dar wakati wa hfla fupi ya ftari iliyoandaliwa kwa ajili ya waandihsi wa habari na warembo wa kanda tatu za jijini Dar es Salaam ambazo ni Temeke, Ilala na Kinondoni. (Picha na Frank Aman). 
 Mzigo ulivyoendeka...
Kushoto ni Redds Miss Kinondoni Stella Mbuge, katikati ni Salha Israel Redds Miss Ilala na kuria ni Husna Twalib Miss Temeke 2011.
 Redds brand manager Victoria Kimaro akiwa na mdau Evancy ngingo.
 Warembo wakipatiwa maneno ya mwisho na Meneja wa Redds Vick katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment